Kwa Nini Ma Slay Queen Wanaolewa Sana Kuliko Wife Material?
Gumzo mtaani ni kwamba ma slay queen wananyakuliwa haraka zaidi kuliko wanawake wanaojulikana kama wife material. Je kuna sababu spesheli ?

Gumzo mtaani ni kwamba ma slay queen wananyakuliwa haraka zaidi kuliko wanawake wanaojulikana kama wife material. Je kuna sababu spesheli ?
Mila na desturi inashurutisha ya kwamba kuna sheria fulani za kimavazi ambayo ni lazima kuzingatia unapoenda kutembelea wakwe zako.
Sheria katika mahusiano zimebadilika sana sana kwenye kizazi cha mitandao ya kijamii.
Kuna vitabia vinavyoonyesha kuwa mtu hayuko tayari kuoa. Tayarisha kalamu na karatasi ueze kujielimisha.
Hakuna haja ya kudanganyana na kuzungushana kiakili. Tuzingatie mambo haya tofauti.
Kuna vijitabia ambavyo vina aibu wakati wa arusi kule mitaani uswahilini.
Tunazungumzia kuhusu changamoto za kuanika mahusiano yako kwenye mitandao.
Saa nyingine hasira ni hasara.
Kuna vitabia mtu hufanya katika mahusiano amayo yanafanya ujiulize kama akili iko sawa ama ni jinamizi.
Je unajua kuna takwimu zinazoelezea kuwa wanawake huwa na mbinu bora za kucheati?
Jumuika nasi tunapotoa mifano ya vitu amabavyo wanaume hufanya baada ya mechi yanayotuudhi.
Kwenye Sehemu ya pili ya Stori ya masaibu ya mapenzi, Faiza anasimulia yake pia.
Hadithi njoo uwongo njoo! Mkamburi anatusimulia masaibu yake ya mpenzi wake wa zamani.
Kipindi hiki kinahusu vitu tofauti unayofaa kujua kuhusu uke wa mwanamke.
Tujumuike kwenye mchezo huu wa kuchekesha tunapoulizana maswali tofauti kuhusu mahusiano.
Gumzo linaendelea… Warembo wa Bara inasemekana ni wapambanaji lakini hawana heshima kama wapwani
Wiki hii tunazungumzia penzi baina ya wabara na wapwani. Hili penzi hua ni la kudumu ama ni kudanganyana tu???
Wooyooooo! Leo kwenye mkahawa tuna toa tips kemkem kwa ma side chick ama michepuko
Hata Kama wampenda mumeo kiasi gani na waumia huna raha, ni wakati uangalie kama kuvumilia kutakuweka kwenye shida na kuhatarisha maisha yako.
Wooyooooo! Ukijua shemeji yako ama mume/ boyfriend wa swahiba lako anamcheat utamwambia ama utanyamazia?
Ugonjwa wa ma rich aunty umesambaa kwenye jamii zetu lakini, ina madhara gani?
Wiki hii tunazungumzia maswala ya "homemakers" na kama wanawake wanajipa priority kwenye mahusiano ama everything kinafanywa kimfurahishe mwanamume na familia ya mwanamume.
Kwenye mahusiano ya kawaida kuna kanuni fulani lazima zizingatiwe. Pata maelezo zaidi kutoka kwetu kwenye kipindi hi
Wiki hii we get into the deeps of marriage life in the Coastal culture na changamoto ambazo young couples wanapitia in terms of balancing marriage life work and daily challenges Follow us on Instagram https://www.instagram.com/swahilidishespod/ #swahilidishespodcast #roadto500subs #ndoaamahela