HUWAPA NGUVU WAZIMIAO - "ISAYA 40:29-31"
Jun 30, 2021•8 min•Season 1Ep. 1
Episode description
28 Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.
29 Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.
30 Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka;
31 bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.
#sirizabiblia
Youtube/siri za biblia
For the best experience, listen in Metacast app for iOS or Android
Open in Metacast