Taarifa ya Habari 27 Juni 2025
Jun 27, 2025•15 min
Episode description
Waziri Mkuu wa Anthony Albanese ametetea msimamo wa serikali kwa matumizi ya ulinzi, nakutupilia mbali wito kutoka utawala wa Trump kuongeza matumizi hadi asilimia 3.5 ya pato la taifa.
For the best experience, listen in Metacast app for iOS or Android
