Taarifa ya Habari 20 Juni 2025
Jun 20, 2025•15 min
Episode description
Australia imesimamisha oparesheni katika ubalozi wake katika mji mkuu wa Iran, nakuamuru kuondoka kwa maafisa wote wa Australia kwa sababu yakudorora kwa mazingira ya usalama.
For the best experience, listen in Metacast app for iOS or Android
