13 - Uonevu | Bullying ft. George Chacha
Apr 07, 2023•59 min•Season 1Ep. 13
Episode description
Sio kila tabia inayo ashiria uonevu ni tabia ya uonevu. Tabia ya uonevu haikubaliki. Inaumiza, ina angamiza, na ina haribu maisha ya watu.
Kutokana na tafiti iliyofanywa nchini Tanzania, imegundulika kuwa uonevu ni moja ya tabia inayo ongoza kusababisha changamoto ya afya ya akili mashuleni. Tabia hii ya uonevu haiko pekee katika mashuleni lakini pia ipo maeneo yetu ya kazi na majumbani mwetu.
Katika hii episode nimeungana na Mwanasaikolojia Bw. George Chacha akielezea jinsi ya kumsaidia mzazi mwenye mtoto ambae ana tabia ya uonevu, mtu ambaye yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu mwonevu pamoja na mtu anaefanyiwa uonevu katika eneo lake la kazi na mwajiri wake au wafanyakazi wenzie...tafadhali ungana nasi, kujifunza yote haya.
For the best experience, listen in Metacast app for iOS or Android
